Rappa 50 Cent amejikuta matatani na vyombo vya sheria huko West Indies islan baada ya ktumbuiza jukwaani kwa wimbo wenye lugha chafu.
Rappa 50 Cent alijikuta mikononi mwa polisi katia tamasha la 2016 St.
Kitts Music Festival (June 25) at the , baada ya kumaliza kutumbuiza katika onyesho na kushuka jukwaani na kutajiwa kosa lake kuwa ni kuimba toleo chafu la hit yake ya 2003, "P.I.M.P."
Gazeti la Jamaica Observer,limeripoti kuwa bodyguard wa 50 bw Bajar Walter pia alikamatwa na polisi kwa kuwatolea lugha chafu wakati wakimchukua bosi wake.
Upande wa wanachama wa G-Unit umesema wakulaumiwa ni DJ kwa kukosa kuwa na clean version ya wimbo huo P.I.M.P
Polisi nchini humo wamesema 50 Cent ataendelea kubaki huko Carribean mpaka apangiwe tarehe ya mahakama.
Taariifa zaidi zinasema kwa makosa kama hayo huko Carribean humalizwa kwa kulipa faini.
2003,rapa DMX alikutwa na mkasa kama huo katika tamasha kama hilo la St. Kitts Music Festival na akalipishwa faini.
Monday, June 27, 2016
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment