Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Wednesday, May 21, 2014

 

 Christopher George Latore Wallace aka Notorious B.I.G. aka Biggie Smalls ni Rapa, mtunzi wa nyimbo, mwimbaji, mtayarishaji wa rekodi.Notorious B.I.G. aka Biggie Smalls aliyezaliwa jiji New York tarehe 21 may mwaka 1972, (amejiita jina hilo baada ya jambazi la kwenye filamu ya mwaka wa 1975 ya Let's Do It Again) The Black Frank White" (inatokana ana uhusika wa mwuza madawa ya kulevya kutoka katika filamu ya mwaka wa 1990 King of New York ,anahesabiwa kama moja kati ya miamba katika rap na hiphop   inafikia kumuita one of th greatest rappers of all time.Umwamba wake katika hiphop ulidhihirika pale alipo acha albamu yake ya kwanza''Ready to Die mwaka 1994, na kumfanya kuwa East Coast hip hop icon na kumsababisha kuchukua tuzo ya Rap Artist of the Year mwaka 1995 katika tuzo za Billboard Music.  Mwaka wa 1995, Wallace akaongoza marafiki zake wa utotoni hadi kwenye mafanikio ya kichati kupitia kundi la wafuasi wake la Junior M.A.F.I.A.. Wakati anarekodi albamu yake ya pili, Wallace alijishughulisha sana na masuala ya kigomvi ya East Coast-West Coast, ilitawala katika uwanja wa hip hop kwa kipindi hicho. Mnamo tar. 9 Machi 1997, Wallace aliuawa na watu wasiojulikana wakati anaendesha gari huko mjini Los Angeles. Seti yake ya diski mbili ya Life After Death, ilitolewa baada ya siku kumi na tatu baadaye, imegonga nafasi ya kwanza #1 kwenye chati za albamu nchini Marekani na kutunukiwa Almasi mnamo mwaka wa 2000.[2] Wallace alitambulika sana kwa staili yake ya "kujiachia, anachana taratibu", uwezo wa kimashairi yanayoeleza tawasifu kimtindo. Tangu kifo chake, albamu mbili zaidi zilitolewa. MTV wamweka nafasi ya #3 kwenye orodha yao ya Ma-MC Wakali wa Muda Wote.[

 

0 comments:

Post a Comment