Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Wednesday, November 19, 2014

Faith Evans Notorious B.I.G. Album

Kitu kiubwa katika kiwanda cha muziki wa Hiphop kinakuja,akiongea katika mahojiano na watangazaji wa Mtv tarehe 18 nov,aliyekuwa mke wa Christopher Wallace’ aka Notorious B.I.G, Faith Evans,amesema atatoa albamu ya pamoja na mumewe huyo ambaye imepita karibuni miongo miwili tangu auwawe kwa kupigwa risasi.Faith amesema albamu hiyo itaundwa na nyimbo za marehemu B.I.G ambazo hazikuachiwa na baadhi ya nyimbo zake.

0 comments:

Post a Comment