Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Saturday, November 29, 2014

 Jay Z Named Third Most Searched Celebrity In 2014
Jay Z ametajwa kushika namba 3 katika watu maarufu waliotafutwa zaidi katika mitandao kwa mwaka huu wa 2014 zoezi lililosiamiwa na  Ask.com.
Mtandao huo umethibitisha kutuafutwa kwa watu maarufu ambapo kumezidi mara millioni 100 kuanzia mwezi January 1 mpaka November 15.
Rappa Jay Z ameshika nafasi ya 3 na juu yake wapo mastaa kama Robin Williams aliyeshikia namba1 na Jennifer Lawrence namaba2.
Tazama orodha hapo chini:
Screen Shot 2014-11-28 at 11.39.54 PM

0 comments:

Post a Comment