
Busta Rhymes ilibidi aende hospitali kwajili ya uangalizi zaidi wa kichwa baada ya kuanguka toka jukwani mpaka chini na kupasuka siku ya ijumaa kichwa huko New York.
Taarifa zaidi zinasema Busta alikwenda katika tamasha hilo kama mgeni surprise appearance katika ukumbi wa Webster Hall kaika tamasha la msanii mwenzakeO.T. Genasis’na laipanda ajili ya kutumbuiza naye wimbo “Coco,” na ndipo Busta alipojikuta ameteleza jukwaani na kuanguka chini walipo mashabiki akitanguliza kicha.
Baada tu ya kuanguka walinzi walifika mara moja na kumuokoa na baadaye akiwaambia mashabiki wake kamba yupo salama japo amechanika kichwani na ametokwa na damu.
Saturday, November 29, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment