Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Wednesday, February 18, 2015

 
Chris Brown na mpenzi wake,Karrueche Tran walihudhuria maonyesho ya mitindo ya Mercedes-Benz Fashion Week.Mastaa hao waliwasili katika kumbi zilipofanyika sherehe hizo wakiwa wamevalia makoti ya ngozi na manyoya ya wanyama maarufu kama ''fur coats''. Breezy alivalia koti hio lililokatika mtindo wa hoodie .Wawili hao walinda nyuma ya jukwa kukutana na mwanamitindo Costello na kumpongeza kwa kazi zake nzuri za mwaka huu wa 2015. “Mwnamitindo Costello nguo zake zinapendwa haswa na watu maarufu kama Beyoncé, Ariana Grande, Christina Aguilera nk.
Wakati mastaa hao wakisifiwa kuwa walipendeza,chma kinachotetea haki za wanyama tayari kimepeleka salamu kwa mastaa hao kwamba wanakiuka haki za wanyama.


0 comments:

Post a Comment