Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Saturday, March 21, 2015

Image result for chris brown on court

Chris Brown sasa atapumzika,ikiwa ni karibu miaka 6 imepita tangu afanye tukio la kumshambulia na kumsababshia mauimivu namajeraha aliyekuwa mpenzi wake,Rihanna mwaka 2009,kesi hiyo sasa imefikia mwisho.Hakimu wa mahakama kuu ya Los Angeles,Judge James R. Brandlin,siku ya ijumaa alisema Brown amemaliza adhabu yake ya kifungo cha nje na muda wa majaribio ambapo alikuwaha akishiriki kazi za umma,darasa la ushauri nasaa na rehab.

Brown aliingia matatani baada ya kumshambulia na kumsababishia mareha na maumivy aliyekuwa mpenzi wake,Rihanna mwaka 2009 masaa kadhaa kabla ya kuhudhuria sherehe za utoaji wa tuzo za Grammy. Brown alitumikia kifungo cha miezi miwili na nusu jela baada ya kukutwa tena na kosa la kumshambulia mtu mmoja huko nje ya hotel hukoWashington October 2013.Katika kuthibitisha hayo Chris Brown kupitia akaunti yake ya Tweeter aliandika: IM OFF PROBATION!!!!!!!! Thank the Lord!!!!!!

0 comments:

Post a Comment