Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Thursday, March 26, 2015

 
Mama wa aliyekuwa muimbaji mahiri Whitney Houston anasema ameshajiandaa kiakili kukabiliana na hali ya huzuni itakayomkabili pindi umauti utakapomfika mjukuu wake Bobbi Kristina na kusema sababu ni mpango wa Mungu..
Cissy Houston akihojiwa na waandishi wa habari huko NY alisema:Nachukua nafasi hii kuwashukuru wote walioshiriki nasi katika maombi haswa katika kipindi hiki kigumu,na tunatakiwa kumshukuru Mungu kwa kila linalotekea,ikitokea bwana aktenda miujiza na kumuamsha ni jambo la kushukuru na hata kama atoamka kwa imani yetu ni kwamba binti huyu atapumzika kwa amani.
Bobbi hivi karibuni aliamisha hospitali na kupelekwa huko Atlanta ambapo bado anaendekea kupatiwa matibabu akiwa bado kwenye koma.


0 comments:

Post a Comment