Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Thursday, March 26, 2015

0325_lil_wayne_christina-milian_splash_2
 Lil Wayne hivi karibuni alijiachia vya kutosha katkamitaa ya Hollywood akiwa na mpenzi wake wa sasa, Christina Milian na kufanya kile kilichokuwa kikichukul;iwa kama minongo'ono sasa kuwa official kwamba wao ni wapenzi. 
Weezy na Christina walionekana wakiwa wameshikana mikono wakitoka katika utengenezaji wa filamu siku ya jumanne kudhihirisha kwamba mambo hadharani sasa ni wapenzi na watu waju hivyo.
Christina alisainiwa na Young Money alikuwa kimya haswa alipokuwa akiulizwa juu ya mahusiano yake na bosi wake yaani Lil Wayne.

0 comments:

Post a Comment