Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Tuesday, March 31, 2015


 DJ Mustard Wants To Work With Roc Nation Artists: Jay Z, Beyoncé, Jeezy, Rihanna
Katika vitu ambavyo amejiwekea katika maisha yake na mipango katika kiwanda cha muziki,ni kuwa moja kati ya maproducer bora na wakubwa.
Akifanya mahojiano na mdau mkubwa wa muziki wa hip hop bw Steve Lobel, DJ Mustard aliongelea mipango yake ya baadaye ikiwa ni baada ya kusema kwamba rappa bora kwake ni Drake na si YG, japo anafanya kazi na YG.

I’m finna go back in with YG and do this second album," Mustard says. “That’s a big move for me and him. We’re doing the second album to really show people this is what we came here for. We know what we’re doing.”

“Hopefully,” he says, he’ll  be able to work with other Roc Nation artists such as Hov, Beyonce and Rihanna.

Nabbing those artists could help Mustard reach his goals. The 10 Summers DJ tells Lobel that in 10 years, he wants to be “one of the best” and “one of the greatest.”




0 comments:

Post a Comment