Lile tamasha kubwa la muziki wa hip hop duniani,Summer Jam 2015 ambalo huwa linaandaliwa na radio ya New York, Hot 97 ,limetangazwa kufanyika na orodha ya wasanii watakaotumbizamwaka huu imetajwa.
Orodha inmapambwa na wasanii ambao mmoja wapo ni ambaye hivi karibuni ameachia albamu na iefanya vizuri na sasa ni No.1 ,To Pimp a Butterfly,Kendrick Lamar,wengine ni Chris Brown,Trey Songz,Big Sean, Fabolous ,Meek Mill, Ty Dolla $ign wasanii waalikwa watakuwa ni Omarion na Childish
Gambino.
Kabla ya tamasha lenyewe kutakuwa na shere za awali ambazo zitapambwa na burudani toka kwa waanii Travi$ Scott, B.o.B, Joey Bada$$, DeJ Loaf na Teyana Taylor.
Tazama tangazo linaloelezea tamasha hilo hapo chini:
.
Wednesday, April 1, 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment