Ikiwa ni siku chache tangu Iggy Azalea kumwagana na Nick Young,kumekuwepo na habari inayosema Iggy amemtupia virago Nick Young.
Habari hii ilivuma baada ya mitandao baada ya kusambaa picha inayoonyesha gari alilonunuliwa Nick Young aina ya blue 1962 Chevy Impala likiwa limebebwa na winchi.
The "Fancy" rapper Kupitia akurasa wake wa Twitter amekanusha tarifa hizo na kusema si kweli kwamba amemtimua Nick Young katika mjengo wao na kumtupia virago vyake.
Wawili hao walivalishana pete ya uchumba mwaka uliopita baada ya kuwa katika mahusiano ytangu mwaka 2013 .
Minongóno yna uvumi wa Iggy na Nick kuachana mpaka kuacha ukweli ilianzia pale mchezaji mpira wa kikapu wa ligi ya NBA D'Angelo Russell kumrekodi Nik Youn akiongea na mdada mwingine na kurusha mitandaoni.
Minongóno yna uvumi wa Iggy na Nick kuachana mpaka kuacha ukweli ilianzia pale mchezaji mpira wa kikapu wa ligi ya NBA D'Angelo Russell kumrekodi Nik Youn akiongea na mdada mwingine na kurusha mitandaoni.
0 comments:
Post a Comment