Runtown amemaliza uatata na bosi wa record lebo iliyokuwa ikimsimamia ya Eric Many entertainment uliokuwa ukiendelea kwa wiki kadhaa na kuripotiwa mitandaoni.
Katika moja kati ya vilivyotajwa kusababisha utata ni sambamba na Runtown kusema kutokuelewana huko kilisababishwa na kutishiwa kuuwawa,dhuluma na mengineyo.
Taarifa zinasema Runtown na bosi wa lebo ya Eric Many entertainment,bwana Ukwudili Umenyiorawamemaliza kesi yao nje ya mahakama kwa msaada wa wanasheria wa kampuni ya Olaniwun Ajayi kufuatia kuwakutanisha June 14, 2016 huko New York.
Taarifa zinasema Runtown na bosi wa lebo ya Eric Many entertainment,bwana Ukwudili Umenyiorawamemaliza kesi yao nje ya mahakama kwa msaada wa wanasheria wa kampuni ya Olaniwun Ajayi kufuatia kuwakutanisha June 14, 2016 huko New York.
Makubaliano yamefikiwa kuwa Runtown atafanya kazi chini ya Eric Many entertainment kama walivyokubaliana awali lakini wakati huu amepewa nafasi kubwa katika kuendesha mambo ya mapato.
‘"Runtown
and Dilly agreed to settle out of court and Runtown will remain with
the label for one more year but its now more of a partnership deal
because it gives Runtown more control,’"
Tarifa zingine zinadai kwamba muimbaji Runtown anampango wa kuanzisha record lebo yake binafsi na ajisimamie mwenyewe baada ya kumaliza mkataba na Eric Many entertainment na imesemwa kuwa lebo hiyo ameipa jina la ‘Power In The Music (PITM) Runtown ndiyo CEO.
0 comments:
Post a Comment