Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Friday, July 15, 2016

Tokeo la picha la Jay Z, Tupac & The Notorious B.I.G
Big Sean akihojiwa na waandishi wa jarida la Vogue alitaja majina ya wakali anaowakubali katika mpangilio wa pamba.
Big Sean alisema :nang'ara na vitu vya gharama,Rolex ring kama walivyokuwa waing'ara Tupac na Biggie ambao nilikuwa nikikua nawaangalia na hata Jay Z, Kanye,Pharrell.
Sean ameongeza kusema alivutiwa zaidi na uvaaji wa Tupac zile  leather vests na jerseys.
Biggie na Puffy ndani ya masuti.

Nakilri kwamba hao watu ni kioo tosha cha mimi kung'ara.
Big Sean alimtaja pia Nas kuwa alikuwa akimvutia kwa uvaaji wake wa Carhartt jacket na NY Timbs.

0 comments:

Post a Comment