Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Friday, July 15, 2016

 Foxy Brown
Sherehe za kuwatunuku wakina dada waliong'ara na kuipaisha rap na hiphop miaka hiyo.
Sherehe hizo ambazo zilisimama kwa takribani miaka 6 zilifana na zilichangamsha kwa watunukiwa na hata waliohudhuria huko New York City katika ukumbi wa Lincoln Center siku ya jumatatu.
Kwa mwaka huu walliotajwa walikuwa wakina dada waliong'ara na kuipaisha rap na hiphop miaka hiyo ni Queen Latifah, Missy Elliott, Lil Kim na Salt-N-Pepa.
Katika sherehe hizo mastaa kibao walishambulia jukwaa akiwamo Misdemeanor,aliye host Eve, Nelly Furtado, Lil Mo na Trina wao walizileta jukwaani "Get Ur Freak On," "Work It," "Hot Boyz" na"One Minute Man" na baadaye"Lose Control" and "WTF (Where They From)." Monica aliwakilisha na "So Gone" na Tweet alitisha na "Oops (Oh My)" na kama haitoshi Missy alirejea tena jukwaani na "Lady Marmalade.
Kilichopelekea Foxy Brown kuwawajia juu waandaaji wa sherehe za VH1’s ‘Hip Hop Honors ni kutotajwa yeye na Laurin Hill.kupitia mitandao aliandika:
 “I Awoke This Morning, Oblivious And Shocked At Our Fans Across The World’s TRENDING Outrage At (Reality Show Network) @VH1’s Non-Inclusion Of LAURYN HILL & FOXY BROWN,” she wrote. “Anyone Recognized, (Whether The Contribution Big Or Small) I Applaud. Personally, I’d Prefer Being Held To A Much Higher Standard In My Walk, But Fans Went Ballistic; The PEOPLE Have Spoken!”

0 comments:

Post a Comment