Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Thursday, July 14, 2016

 
Kufuatia Taylor Swift kujitangaza kwenye vyombo ya habari kwamba ameandika wimbo unaofanya vizuri kwa sasa ulioimbwa na Rihanna na Calvin Harris ambaye alikuwa boyfriend wake This Is What You Came For,Dj huyo mscotishi mwenye umri wa miaka 32 amemjia juu na kumchana Swift kwa kile alichokisemaanampakazia.
Hapo awali ilielezwa kuwa wimbo huo uliandikwa na mtu ailiyetambulika kwa jina la waye Nils Sjoberg lakini sasa  inasemekana kuwa  kuwa Nils lilikuwa ni jina lakubuni tu na  wimbo huo uliandikwa na Taylor Swift  wakati wa uhusiano wao, Harris na Swift waliandika wimbo huo na kuamua wasiutoe.
Utata ulianza pale msemaji wa Taylor Swift kusema Taylor Swift ndiye aliyeandika wimbo This Is What You Came kwa kutumia jina la uzushi Nils Sjoberg.”

0 comments:

Post a Comment