Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Tuesday, August 30, 2016

Tokeo la picha la Beyoncé anda blue at the VMAs 2016
Unapoongelea maswala ya kuvunja kabati na kuspend mkwanja wa kutosha katika maswala ya kuvalia,familia ya Carter huwezi kuacha kuitaja.
Taarifa zinasema familia hiyo ya Carter katika kuhakikisha wanaacha history katia sherehe za utoaji wa tuzo za MTV VMAs bada ya Beyoncé kutajwa katika categories kuwania tuzio mara 11 na kushinda tuzo 7 kutoka katika albamu yake ya Lemonade,walivaa mavazi ya gharama kubwa.
Binti yao Blue Ivy alivalishwa kigauni kilichonakshiwa kwa dhahabu na ito vingine kilichotajwa kugharimu dola 10,950 huku mama yake,Beyonce aliyetumbuiza nyimbo “Hold Up” na “Sorry”; alionyesha fashion show ya kubadili mavazi kwa kila tukio ambapo taarifa zinasema mavazi hayo yaligharimu zaidi ya dola million 13.


0 comments:

Post a Comment