Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday
Posted by djnicotracktz
on 12/14/2012 03:02:00 AM
No comments
Rihanna na Bruno Mars kuperform katika The Voice
The Voice ni American reality talent show ambayo huendeshwa na kituo cha televisheni cha NBC .
Rihanna and Bruno Mars wamechaguliwa ku perform katika fainali hizo za mashindano ya uimbaji ,shindano hili limeshawatoa wasanii wengi wanaofanya vizuri ktk muziki wakiwemo Christina Aguilera, Cee Lo Green, Maroon 5 nk
Hii ni Top 4 ya Rappers ya T.I.
T,I amewataja Eminem, [Jay-Z], Three Stacks, Lil Wayne kuwa ndiyo rapaz wanaofanya poa ktk game ya hip hop kuanzia jukwaani mpaka dukani.
Rick Ross a renew Promotional Deal na Ciroc Vodka ya Diddy
Rick Ross ameingia contract na Ciroc kama brand ambassador. Deal hii itamuwezesha rapa huyo wa kutoka miami kudhaminiwa live shows na Rick Ross anatakiwa kuipromot Ciroc Vodca.
0 comments:
Post a Comment