Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Tuesday, June 25, 2013


Fat Joe jela miezi 4 kwa matatizo ya kukwepa Tax

Fat Joe  

Rapper Joseph Cartagena aka Fat Joe jumatatu tarehe 24 amehukumiwa kifungo cha miezi minne jela baada ya kukutwa na makosa ya kukwepa kulipa kodi ya mapato aliyoingiza miaka ya 2007 na 2008  inayokaribia $ million 1.

 Fat Joe ndiye latest hip-hop star kwenda jela kwa matatizo ya ukwepaji tax.Ja Rule alifungwa miezi 28 , while Lauryn Hill alifungwa miezi 3.

 

 

Jay-Z amsainisha NBA Superstar Roc Nation Sports Roster

 
Rapper mfanyabiashara Jay Z ameamua kuwekeza ktk michezo na katika kudhihirisha hilo amsainisha NBA Superstar Kevin Durant,kutoka Oklahoma City Thunder star. katika kuthibitisha hayo Durant ametuma picha ya kile kilichoendelea kwa Instagram photo.

 

 

0 comments:

Post a Comment