50 Cent matatni kwa kutumia mabavu
Mtandao wa TMZ.com exclusive ambao wamepata information toka Los Angeles City Attorney unaripoti kwamba June 23 50 cent alimpiga mama wa mtoto wake na kuvunja baadhi ya vitu nyumbani kwa mama huyo.
50 Cent real name Curtis Jackson alitoweka eneo la tukio Toluca Lake, California ambapo ni nyumbani kwa mama wake wa mtoto wa kiume kabla police hawajafika.
Kiongozi huyo wa G-Unit ameshitakiwa kwa makosa ya kuharibu vitu vua mama huyio vikiwemo kuvunja milango,television,na kama haitoshi kumpiga.
50 anatahitajika mahakamani July 22. atatozwa fine isiyopungua $50,000 ama kutumikia miaka 5 jela ikiwa atapatikana na makosa.
Thursday, July 4, 2013
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment