Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Friday, July 12, 2013



reports zinadai,Chris Breezy amefikia uamuzi kufuta zile graffiti za michoro ya magoblin ya kutisha.mtandao wa TMZ unareport kwamba Chris amekuwa kwa fight na city of L.A. tangu mwezi May kuhusu graffiti za magoblin ya kutisha nje ya ukuta  wa nyumba yake.
Chriss Brown inaonekana anafuta graffiti hizo kwa shingo upande kwani mnamo mwezi may alitweet:It's art.There are scarier creatures on Harry potter.
inasemekana pamoja na kufuta miciro hyo Chriss Brown bado anatakiwa kulipa fine
.

0 comments:

Post a Comment