Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday
Posted by djnicotracktz
on 7/11/2013 03:39:00 AM
No comments
Jay-Z amesema hayo during a interview na kipindi cha The Breakfast Club cha Power 105.1' Radio,rapper huyo toka pande za New Orleans,Lil Wayne angekuwa top wa Young Money’s musical empire, lakini wakati huohuo angesign deal na Jay-Z na Roc-A-Fella Records. Jay Z amesema alivutiwa kufanya kazi na Lil Wyne na alishachukua hatua za kuwasiliana na Birdma na kufanya kikao na Lil Wyne,Jay-Z anasema aliachana na mpango huo baada ya Lil Wayne kumtaja mkewe (Beyonce) ktk track inayopatikana ndani ya Tha Carter IV’s
“It’s Good.” ktk hilo song Weezy anarap, “Talkin' 'bout baby money, I got
your baby money/Kidnap your b***h, Get that 'how much you love your
lady' money.”
0 comments:
Post a Comment