Jarida la People huchapishwa kila wiki nchini Marekani na kusomwa na watu wanaokaribia milioni 40
Jarida hilo limemtaja Mkenya Lupita Nyong’o kama mwanamuke mrembo zaidi duniani mwaka 2014.
Tuzo hii ya kivyake kwa muigizaji huyo imegonga vichwa vya habari nchini Marekani tangu kushinda
Mtandao wa People.com, unasema kuwa muigizaji huyo alifurahia sana kutajwa na jarida hilo kama mwanamke mrembo hasa kwa sababu wasichana kama yeye watapata kuwa na matumaini ya kufanikiwa maishani kama yeye.
"Nimefurahi sana na hii ni fursa kuwafanya wasichana wengine wajihisi kuwa wana uwezo wa kufikia chochote maishani mwao.
0 comments:
Post a Comment