Bow Wow sasa amekua na anahitaji mabadiliko.Baada ya miaka 20 ya kutumia jina la jukwaani,Bow wow,sasa rappa na mtangazaji huyo wa televisheni wa kipindi cha the “106 & Park” ametangaza kustaaf kuacha kulitumia jina hilo.
Rappa huyo mwenye umri wa miaka 27 amesema baada ya tuzo za BET june 29 ataanza kutumia jina lake halisi la kuzaliwa,Shad Moss.
Shad Moss’ anasema amefanya mambo mengi kama bow wow sasa ananona muda wa mabadiliko umewadia kwani jina “Bow wowhaliendani na mazingira ya sasa kwani sasa ni baba,mfanyabiashara,mcheza filamu,mtangazaji wa TV hivyo MR Moss litafaa zaidi.
Shad Moss litaanza kutumika rasmi baada ya tuzo za BET june 29 na akitoa ngoma yake mpya ya “Right Now” feat K Camp
Ikumbukwe jina Lil Bow Wow alipewa mwaka 1993 na rappa Snoop Dogg ambapo mwaka 2002 alibadilisha na kuwa Bow Wow.
.
Tuesday, June 24, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment