Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Friday, June 20, 2014

 Kanye West Disses Barack Obama

Mpende ama umchukie Kanye West anaongea na watu wanamsikiliza. Rappa Kanye amemdiss raisi wa marekani,Barack Obama jana tarehe 19 june alipokuwaakihojiwa na Power 106 kwa kusema anafikiria si rahisi kwa raisi huyo kuleta mabadiliko akiwa ndani ya ikulu.

West (37) amesema pia President Obama anakosa power na pesa hata kama ana fikra nzuri na ni mwenye upeo mkubwa kwahivyo si rahisi kuleta ama kufanya mabadiliko akiwa ikulu sababu hawezi kutofautiana na wenye nguvu na maamuzi.

Kanye na raisi Obama hawana history nzuri kutokana na kitendo cha rapa huyo kumpoka kipaza sauti Taylor Swift na kumwambia hakustahili kuchukua tuzo aliyopewa Kanye kitendo kilichpelekea raisi Obama kumuita Kanye ''jackass” (yaani mtu mjinga ama mshenzi wa tabia).

0 comments:

Post a Comment