Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Saturday, June 21, 2014

 Tracy Morgan Out Of Hospital
Baada ya kulazwa kwa takriban wiki 2 tangu alivyopata ajali mbaya ya gari,Tracy Morgan amepata afdhali na ameruhusiwa kutoka hospitali japo atatakiwa kuendelea kupatiwa matibabu na kuhudhuria rehab.
Watu wa karibu na Tracy wamesema  ametolewa Robert Wood Johnson University Hospital na sasa anahudhuria physical rehab center kwani bado hajapona kabisa kutokana na kuvunjia seheu kadhaa za viungo.

0 comments:

Post a Comment