Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Friday, June 27, 2014

 062614_r_kelly_launch_v2
R. Kelly hakubaliani na ukweli kwamba mwanawe wa kike Jaya amechagua kuwa mwanaume.
Kelly amesema bado anamuhesabia mwanaye huyo wa umri wa miaka14 kuwa ni binti na mwnaume kama anavyojitaja yeye na kubadili jina lake toka Jaya kwenda Jay. 
R. Kelly ameyasema hayo alipohojiwa na weekend iliyopita na radio moja huko Chicago.
Jay hajabadilisha viungo ila angependelea.

0 comments:

Post a Comment