Bondia Floyd Mayweather Jr.,37 akiwa katika red carpet za tuzo za BET June 29,alipata taarifa kuwa gari walilokuwamo watoto wake watatu limepata ajali huko Los Angeles.Akiwa katika majukumu katika tuzo hizo alipigiwa simu na Justin Bieber na ndipo alipomuelezea kilichojiri na ndipo muimbaji huyo alipoamua kuacha alichokuwa akifanya na kulelekea katika eneo la tukio ajili ya kuwasaidia watoto wa bondia huyo,alipofika eneo latukioa alijielezea kwa wanausalama kuwa yeye ni mwanafamilia wa watoto hao ndipo wanausalama walipomruhusu kuwachukuwa na ndipo alipowapeleka mpaka alipo baba yao na yeye kurudi mpaka eneo la tukio kukamilisha taratibu za kisheria.
Tuesday, July 1, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment