Mapema leo YMCMB first lady amejibu ndiyo kwa kile kinachosemekana mashabiki wake kumtaka afanye kolabo na Rihanna na Beyonce.
Kuthibitisha amekubaliana na maombi ya mashabiki wake tazama alichokiandika baada ya shabiki mmoja kumtumia picha hii:
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment