Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Friday, July 4, 2014

shaq
Mcheza kikapu mahiri mstaafu waligi ya maarufu duniani ya mpira wa kikapu NBA Shaquile O'Neal amedghihirisha kwamba ana vpaji vingi baada ya kufanya kweli huko Las Vegas katika night club ya Chetau & rooftop katika hotel ya Paris hotel anda Cassino.Shaquile O'Neal ana vipaji vingi ukiachilia mpira wa kikapu Shaquile anarap na sasa ni Dj.Shaqule amekuwa katika mazoezi makali miezi kadhaa na yamejidhiirisha baada ya kupewa mtambo na kuwapagawisha waliohudhuria club hapo.

0 comments:

Post a Comment