Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Thursday, November 27, 2014

Karrueche Tran Chris Brown Breakup 
Masikini Karrueche Tran. Inafahamika anampenda sana star wa muziki wa pop na R&B,Chris Brown,kwa moyo wake wote  na amejitolea kwa kila kitu.Kwa bahati mbaya mambo yanaenda tofauti kwa Karrueche kwani inaonekana hapendwi na Brown na amemwagwa,kupitia akaunti yake ya Twitter siku ya tarehe 26 Nov Karrueche ameandika ''Looks like I'm a single lady agai''
Cha kusikitisha zaidi Karrueche na Chris walikuwa wakiishi pamoja na walikuwa pamoja mara nyingi na hata kupanga maisha yao ya baadae pamoja ikiwa ni pamoja na Karrueche kutaka kumzalia mtoto Chris.


 

0 comments:

Post a Comment