
Rappa tika pande za Miami, Florida ambaye ameshawahi kutumikia magereza, Rick Ross amesema yeye ni mmoja kati ya wasanii wa hiphop ambaye nyimbo zake zinchezwa zaidi magerezani.
" Ross ameongelea hayo pale alipokuwa akimuongelea rafiki yake ambaye alikuw akiongozi wa kundi moja la wahuni, Kenneth "Boobie" Williams.
Kiongozi huyo wa Maybach Music Group amesema Williams ni mshikaji wake mkubwa ("big homie") ndiyo maana nyimbo zake zinachezwa sana magerezani.
Ross pia ameongelea swala la wasanii wakuba kama Jay Z
ukiangalia uasilia wa mashindano katika rap music,japo wapo juu lakini macho yao makini kwa watu walioleta nmabadiliko kama yeye na kundi lake aliloliita lenye mafanikio Maybach Music Group.
Thursday, November 27, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment