Kiongozi huyo wa G-Unit pia amesema ana mpango wa kuinunua Murder Inc.
Juzi tarehe 3 March wanachama wa G-Unit,50 Cent, Tony Yayo na Lloyd Banks walikuwa katika mahojiano na kipindi cha The Breakfast Club na rappa 50 aliongelea mahusiano yake na producer Dr. Dre, ambapo alitnabaisha kwamba ahwezi kusema ni marafiki tena.
50 amesema hawapigiani simu wala hawawasiliani tena na anaamini walikuwa katika mahusiano kibiashara tu,najiona kama nilikuwa mchezaji wa New York Knick katikati ya chumba cha makabati cha LA.Akimaanisha lebo ya Interscope ilikuwa ya watu wa West Coast japo ilikuwa East Coast kwahiyo bado kulikuwa na utofauti wa kanda hizi mbili.
50 ameongeza kusema anaamini mahusiano yake mabaya na mfanya biashara mwenzake na Dr.Dre bwana Jimmy yamezidi kuchochea umbali wake na Dre.
50 Cent pia ameelezea kile alichokiona kwamba Suge Knight alipanga kumuua Dr. Dre kwasababu ya mafanikio ya Tupac akiwa katika lebo ya Death Row kipindi hicho Dre akiwa ndiye producer.
Kuhusu swala la kuinunua lebo ya aliyekuwa hasimu wake JA Rule,Murder Inc ambapo amesema ungekuwa mpango mzuri kwani ukitaka kummaliza adui yako unammaliza mazima.
50 amesema hawapigiani simu wala hawawasiliani tena na anaamini walikuwa katika mahusiano kibiashara tu,najiona kama nilikuwa mchezaji wa New York Knick katikati ya chumba cha makabati cha LA.Akimaanisha lebo ya Interscope ilikuwa ya watu wa West Coast japo ilikuwa East Coast kwahiyo bado kulikuwa na utofauti wa kanda hizi mbili.
50 ameongeza kusema anaamini mahusiano yake mabaya na mfanya biashara mwenzake na Dr.Dre bwana Jimmy yamezidi kuchochea umbali wake na Dre.
50 Cent pia ameelezea kile alichokiona kwamba Suge Knight alipanga kumuua Dr. Dre kwasababu ya mafanikio ya Tupac akiwa katika lebo ya Death Row kipindi hicho Dre akiwa ndiye producer.
Kuhusu swala la kuinunua lebo ya aliyekuwa hasimu wake JA Rule,Murder Inc ambapo amesema ungekuwa mpango mzuri kwani ukitaka kummaliza adui yako unammaliza mazima.
0 comments:
Post a Comment