Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Thursday, March 19, 2015

 0318-subasset-prince-mansoor-drake
YMCMB Star,Drake na timu yake siku ya jumamosi walikuwa wakila bata ndani ya club moja huko Dubai inayofahamika kama Movida nightclubt, ndipo alipotokea mtu mmoja na kumuiamisa chini na kumkandamiza rappa huyo kitendo kilichopelekea rappa huyo na walinzi wake kukasirika na kutaka kuanzisha ugomvi lakini kwa haraka vurugu hiyo ilitulizwa na walinzi wa club hiyo waliofika eneo la tukio na kuwatawanya.
Drake alikuwa Dubai kwa mualiko wa familia ya mfalme.

0 comments:

Post a Comment