Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Thursday, March 19, 2015

J. Cole Explains Balancing Rap Dream & College

J. Cole ni moja kati ya marapa wachache waliofanikiwa kupata elimu ya juu na kumaliza hadi kupata degree katika chuo cha Magna Cum Laude. Akifanyiwa mahojiano na Tavis Smiley, rappa J.Cole ameelezea nini amebadilisha katia sanaa ya muziki wa hip hop.
J.Cole amesema aliishi maisha ya shule kama mwanafunzi wa kawaida huku akiwa na ndoto ya kuwa siku moja elimu itakuwa msaada kwake mbali na kuwa ya kupasi mitihani na maksi nzuri na kuongeza kusema hapa mwanzo alikuwa akijisomea na kukariri masomo siku moja kabla ya mtihani wa majaribio ili tu apasi.
Rappa huyo ameongeza kusema hapo awali alikuwa akisoma tu apate degree kabla ya kuwekeza katika ndoto yake ya kuwa rappa mwenye mafanikio.
Siyo tu Cole alibalance shule na muziki bali alikuwa mmoja kati ya wachezaji wa kutegemewa katika timu ya shule ya mpira wa kikapu(basketball).

J.Cole anajisia kwa kusema amefankiwa kufanikisha yote haya tu kwasababu alijiwekea malengo na aliheshimu mambo kwa wakati na kuongeza kusema: "If you want something, you’re gonna find a way to make it happen."





0 comments:

Post a Comment