Timu ya waadishi wa blogu hii inasema Congratulations kwa Kendrick Lamar.
Rappa huyo toka pande za The Compton,amemchumbia mpenzio wake wa siku nyingi tangu wakiwa high school,na wanayeishi pamoja huko South Bay, Calif. “Whitney Alford.
Rappa Kendrick Lamar ambaye albamu yake To Pimp a Butterfly inaongza katika chati mbalimbali ,amethibitisha habari hizo za kumchumbia mpenzi wake wa siku nyingi wakati akipigia debe albamu yake katika kipindi cha “The Breakfast Club” ya Power 105.1’ siku ya ijumaa alipoulizwa kwamba ni kweli umemvisha pete ya uchumba mpenzi wako,akajibu: “Yeah, definitely.
Monday, April 6, 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment