Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Monday, March 21, 2016



Lile beef kati ya 50 Cent na The Game lililodumu kwa takribani muongo mzima lipo mwishoni na linaelekea kumalizika kabisa.
Hayo yamejidhihirisha ma star hao walipoonekana katika club moja na hakukutokea utata wowote.
Rapa 50 alikuwapo kilabuni hapo kwaajili ya kutumbuiza wakati The Game aliibuka kula bata na alijichanganya na watazamaji .
Taarifa zaidi zinadai meneja wa Game bw Wack 100 kabla ya show alikutana na 50 na kujadili baadhi ya mambo na walionekana wakishikana mikono.
Game ameripotiwa kununua chpupa 30 za kinywaji ambacho 50 anakipigia kampeni cha Effen Vodka japo wawili hao hawakupata nafasi ya kusogeleana na kuongea.

The beef between 50 Cent and The Game has been a tumultuous one that’s lasted over a decade and has included a shootout, diss songs and multiple instances of ill will being spread back and forth. But perhaps the two rappers are inching closer to letting bygones be bygones. Both MCs partied peacefully in the same club last night (March 19), popping bottles at Playhouse nightclub in Hollywood.
While 50 was there for a paid event, it appears Game just showed up to party as he can be seen standing in the crowd while Fif posts up in the VIP.
Apparently, Game’s manager Wack 100 met with Curtis and smoothed things over prior to the event. “Two bosses with a mutual understanding. Respect through a handshake,” he posted on Instagram of the encounter.
Game reportedly bought 30 bottles of 50’s Effen Vodka while turning up. Neither artist actually approached or spoke with each other throughout the night. But it’s a start.


Read More: 50 Cent and The Game Party Peacefully at Los Angeles Club - XXL | http://www.xxlmag.com/news/2016/03/50-cent-the-game-party-peacefully/?trackback=tsmclip

0 comments:

Post a Comment