Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Thursday, May 5, 2016

  Tokeo la picha la justin bieber
Justin Bieber amefunguliwa mashitaka ya kutakiwa kulipa dola 100,000 kwa madai kwamba alivunja simu.
Nyota huyo ameingia matatani na kufungliwa mshtaka kwa kosa la kuivunja simu ya Robert Earl Morgan aliyekuwa akijaribu kumrekodi alipokuwa akinywa pombeKIsa hicxho kilitokea katika kilabu ya Cle mjini Texas mwezi uliopita.
Mtandao wa TMZ,umesema Justin Bieber alikasirishwa na kuchukua simu yake na kuivunja.
Thamani ya iPhone haifiki dola 100,000.
Lakini ameshtakiwa kulipa kiasi hicho cha fedha kwa sababu simu hiyo ilikuwa na picha ambazo haziwezi kupatikana tena,ikiwemo picha za sherehe ya miaka 100 ya kuzaliwa kwa bibi yake.
Morgan pia anadai kwamba alipoteza idad kubwa ya nambari zake za mawasiliano ya biashara.
Bieber bado hajatoa tamko lolote kuhusu madai hayo.
Kisa hicho kinaaminika kufanyika jioni ambayo Bieber alionekana kumchoma na sigara Post Malone,ambay amekuwa akimsaidia katika ziara yake ya duniani.

Katika habari nyingine Justin Bieber alijaza watu mtaani na kusababisha foleni kubwa kuuatia kufungua duka la kuuza bidhaa zake haza mavazi yenye maaishi na picha zake.
Duka hilo la Biebs linafunguliwa kwa siku mbili tu yaani may 4 na 5 lipo katika mtaa wa Mercer Street ambapo imetajwa kuwa sambamba na bidhaa na mavazi yake pia atauza bidhaa zinazopromote ziara yake ya muziki ya  Purpose tour. 
 504-justin-bieber-popup-instagram 
 0504_justin_bieber_vfiles_pop_upo_shop_launch

0 comments:

Post a Comment