Kufuatia kutokuwa sawa na kutoelewana baina ya rapa Fat Joe na mjane wa Big Pun,biLiza Rios, pande hizo zimeweka mambo sawa.
2014 mjane wa Big Pun,biLiza Rios alimfungulia kesi ya madai Fat Joe kumtaka amlipe dola 1,000,000. kwakile alichokisema walikubaliana kwamba atakuwa akipata malipo kutokana na kazi za mumew zitakazouzwa lakini haikuwa hivyo.
Joey Crack kwa kushirikiana na music publisher John “Jellybean” (June 22) wamemfata mjane Rios na kumalizana naye katika mahakama ya Manhattana ili kesi isiendelee.
Manhattan Federal Court. Fat Joe, nor John “Jellybean”
Benitez were present at the hearing.
Japo haijulikani kwa kina walichoafikiana ila taarifa ziinasema mjane wa Big Pun alitakiwa kulipwa kiasi cha dola 2,000,000.
Katika kuthibitisha wamekwnda sawa bi Rosaria amesemaa:
“We are pleased with the settlement,” “We think it was fair, and we’re pleased.”
Friday, June 24, 2016
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment