Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Monday, August 22, 2016


Mkali wa miondoko ya Afro pop na ku dance nchini  Tanzania.Msami,aesema watu wengi wanamtazama kwamba ni mkali zaidi upande wa ku dance lakini kwa upande wake amesema vyote vinawiana ingawa kucheza ameanza kitambo kabla ya kuimba na amekili kucheza ndiyo kunampaga maksi zaidi haswa awapo jukwaani.
Masami ambaye ndiye aliyeongoza mtindo wa ucheaji katika video ya wimbo wa Dully Sykes ''Inde' pia amesema anampango wa kuanzisha kikundi cha vijana atakaowafundisha kucheza watakaokuwa chini yake.

0 comments:

Post a Comment