Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Monday, August 22, 2016

 
Muimbaji wa muziki wa rnb nchini tanzania ambaye kwa sasa anafanya vizuri na record yake mpa Wivu,amesema anatoa nafasi kwa wasanii wenye uwezo wa kuandika muziki wa namna yake wamuandikie kisha atawalipa kama zitakuwa katika ubora unaohitajika.Akiongea katika mahojiano na watangazaji wa kipindi cha Red Carpet cha Radio One Stereo,Jux amesema mara zote amekuwa akiwalipa vizuri wanaomuandikia nyimbo na kama haitoshi hutoa heshima kwao na kuwataja kama wamemuandikia.Sababu kubwa ya kutoa nafasi kwa wasanii kumwandikia ni kutaka kupata Ladha tofauti na kutoa fursa kwa wasanii kama sehemu m badala ya kuwaingizia kipato.

0 comments:

Post a Comment