Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Monday, August 27, 2012



 

 

 

Cash Money rap veteran Busta Rhymes atetea mpango wake wa kutoa album ya year of Dragon bure

Busta Rhyme asmesema kuna watu wapo nami wakinisapoti na kutumia pesa zao kununua kazi zangu kwa miaka 20 niliyopo ndani ya fani na sijawahi kufanya lolote bure kwaajili yao,muda ndiyo huu na hii ni kama my thank-you album.

 

 

 

 

 

 

 Lil Wayne na Young Money matatani

Young Money leader Lil Wayne's label matatni baada producers wawili tofauti Andrews "Drew" Correa and Marcos "Infamous" Rodriguez  kufungua kesi ya madai wiki iliyopita kuhusu mchango wao ktk kukamilisha project ya Tha Carter III 2008.Correa amesema alipewa deal mwaka 2008 ku produce music ambayo ilifanya vema ktk megalbums kama "Carter III,"Re-Birth," "I'm Not a Human Being" na Priceless.Correa amesema alipewa mpunga kiasi kisha wakapotea.Producer Rodriguez madai yake ni kama ya Corea tofauti ni kwamba alianza mkataba mwaka 2007.Hii inaonesh kama ni kawaida kwa Young Money kudaiwa kama histoy toka kwa producers Deezle, Bangladesh,Jim Johnson,and David Kirkwood, na Play-N-Skillz.

0 comments:

Post a Comment