FIFA imeatangaza kuanza kumchunguza striker wa timu ya Liverpoll inayoshiriki lihi kuu ya uingereza na timu ya taifa ya UruguayLuis Suarez, kwa kumng'ata begani beki wa Italy,Giorgio Chiellini siku ya jana june 24 wakati timu zao zilipokutana katika katika kombe la dunia katika hatua ya mtoano ambapo Uruguay walitoka kifua mbele kwa kulaza Italy 1-0.
Fifa imesema wametoa muda hadi leo saa 3 usiku kwa timu ya taifa ya Uruguay kutoa utetezi na ufafanuzi juu ya tukio la Suarez kumng'ata begani beki wa Italy,Giorgio Chiellini ambapo iwapo atakutwa na makosa ya makusudi anaweza kukumbwa na adhabu ndogo ya kutocheza mechi 2 ama kungiwa miaka miwili.
Suarez alishafungiwa kucheza mechi 7 kwa tukio la kumng'ata mtu mwaka 2010. Na mwaka 2013alifungiwa mechi 10 na English FA kwa kumng'ata mchezaji wa Chelsea,Branislav Ivanovic.
Kufuatia tukio hilo mchezaji wa Manchester United Patrice Evra amesema atafurahi kuona FIFA wakimpa adfhabu kubwa kuliko za mwanzo.
Kufuatia tukio hilo mchezaji wa Manchester United Patrice Evra amesema atafurahi kuona FIFA wakimpa adfhabu kubwa kuliko za mwanzo.
Naye mchezaji beki wa Italy, Chiellini , amesema “Suarez ni nyoka na ajachukuliwa hatua jana kwasababu FIFA wanapendelea mastar wao wacheze kombe la dunia.
Wapenzi wa soka wamempa cheo cha dhihaka Suarez kwa kusema ukiachilia mbali upachikaji wake wa magoli pia ana hat trick ya kung'ata.
Tazama hapo chini picha za matukio mbali mbali ya Suarez kung'ata.

Tazama hapo chini picha za matukio mbali mbali ya Suarez kung'ata.
0 comments:
Post a Comment