Justin Bieber alipata ajali ya gari siku ya jumanne huko Bev Hills baada ya gari alilokuwamo kama abiria kukimbizwa na waandishi wa habari.
Justin Bieber alikuwa katika gari aina ya Escalade na lilikuwa katika mwendo wa kasi kwani walikuwa wakiwakimbia mapaparazi ndipo walipoligonga gari aina ya BMW lililokuwa likiingia barabarani likitokea katika maegesho.Taarifa zaidi zinasema baada ya ajali hiyo Bieber kwa haraka alichukuliwa na gari linguine aina ya SUV na kutoweka.Watu wa usalama wamesema hakuna aliyeumia katika ajali hiyo.
Wednesday, June 25, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment