Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Wednesday, June 25, 2014


Rapa Jay-Z na mkewe Beyoncé wamekuwa wakitajwa mara kwa mara na vyombo vya habari juu ya mataizo kati yao lakini kubwa kuliko ni lile la rappa huyo kushambuliwa na shemejiye Solange wakiwa kwenye lift  wakitokea katika tamasha la MET Gala.Kuna jingine limejitokeza na linongelewa kwamba kuna uwezekano mkubwa wa rappa Jay Z na mkewe Byonce kutalikiana baada ya kusemekana rappa Jay Z anajiiba  kimapenzi na muimbaji wa R&B,Mya.
Mtandao wa MediaTakeOut umeandika kwamba Jay-Z amekuwa na mahusiano na Mya kisirisiri kwa muda mrefu a inasemekana hata katika matumizi mbalimbali ameonekana Jay-Z akimalizana na bili.

0 comments:

Post a Comment