Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Tuesday, July 1, 2014


 BeyonceJazGrammy
Beyonce aomengoza na kushika namba moja katika oroodha ya 1  Forbes' Celebrity 100 ambayo imetolewa jana (June 30).
Beyonce ametengeneza kama dolla millioni 115 katika kipindi cha mwaka mmoja yaani kuanzia mwezi June 2013 mpaka June 2014,ripoti zaidi zinasema  Beyonce  amejiingizia mkwanja huo mwingi toka kwa vyanzo mbalimbali ikiwemo ziara za muziki ambapo aljiingizia kiasi cha dolla 2.4 kwa kila tamasha na kama haitoshi alitoa albamu Beyonce mwezi December 2013 albamu liyokuwa na video ya kila wimbo na kumpaisha kimauzo.

Tazama Top 10 ya waliongiza mkwanja hapo chini:

1.Beyoncé Knowles - $115 million
2.LeBron James - $72 million
3.Dr. Dre - $620 million
4.Oprah Winfrey - $82 million
5.Ellen DeGeneres - $70 million
6.Jay Z - $60 million
7.Floyd Mayweather - $105 million
8.Rihanna - $48 million
9.Katy Perry - $40 million
10.Robert Downey Jr. - $75 million

Na kwa upande mwingine kuna habari zinasema Beyonce na mume wake Jay Z wanaishi tofauti japo wapo katika ziara yao ya pamoja ya muziki ya  On The Run Tour  .
Wawili hao wana binti wa umri wa miaka miwili,Blue Ivy,inasemekana sababu kubwa ya utofauti kati yao ni maswala ya kukoseanan uaminifu.

0 comments:

Post a Comment