Ikiwa miezi kadhaa tangu litokee tifu la bondia Floyd Mayweather Jr. na rappa T.I kuhusiana na bondia huyo kuhusishwa na Tiny ambaye ni mke wa T.I,siku ya jumapili june 29 wakiwa katika red carpet Tiny alikuwa akihojiwa na waandishi wa habari ndipo alipotokea bondia Floyd Mayweather Jr na kujaribu kumuita na hata kumvuta mkono lakini Tiny alimkataa.
Tuesday, July 1, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment