Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Wednesday, December 4, 2013

 
Gucci Mane Faces Up To 20 Years On Federal Gun Charges
Gucci Mane amesomewa mashtaka mahakamani kwa makosa ya kukutwa na silaha kinyume cha sheria,amabapo inasemekana anaweza kufungwa miaka 20.
CNN  imeripoti kwamba mwezi September tar 12 rappa huyo aliwatolea silaha polisi wa Georgia na kuwatishia na kama haitosi siku mbili baadaye yaani september 14 alimtolea silaha mtu mwingine.
November 19 rappa Gucci alisomewa mashtaka ya miaka 10 jela na faini ya dola  250,000.
 Rappa Gucci ni mtu wa matukio na kila mara huandamwa na sheri,ikumbukwe raapa huyo mwezi march aliingia matatani baada ya kumtwanga shabiki mmoja kwa chupa ya champagne.

0 comments:

Post a Comment