Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Thursday, May 15, 2014

 Oye
Segun Oyeyiola ni mwanafunzi wa mwaka wa mwisho katika chuo cha Obafemi Awolowo University of engineering,Segun ametumia vema sehemu ya mwaka huu na kutia ubunifu katika gari aina ya Volkswagen Beetle itakayotumia nishati ya upepo na solar.
Segun Oyeyiola amesema sababu kubwa ya kuchukua umuda wake na kufanya ubunifu huo ni kwamba anafikiria sana kupunguza madhara yatokanayo na carbon dioxide katika anga la dunia madhara yanayopelekea mabadiliko ya tabia nchi yenye matokeo mabaya.Segun anaongezakusema huu ni mradi wake binafsi “This was my personal project because of the problem I’m planning to solve.

0 comments:

Post a Comment