Kuna ripoti zilitolewa jana mach 11 na kusema watu wanne wamejeruhiwa kwa risasi na mshambuliaji asiyefahamika,shambulio lililotokea huko Miami nyumbani kwa rappa Lil Wayne.Polisi wanasema walipigiwa simu na wakafika eneo lililoripotiwa kuw na tukio na hawakukuta hata dalili ya kutokea tukio lolote la mashambulizi na kusema taarifa hizo ni za uongo.
Msemaji wa polisi Ernesto Rodriguez akiongea na kituo cha televisheni cha MTV amesema ,tulifika eneo la tukio na hatukukuta lolote zaidi ya walinzi wa nyumba ya rappa huyo waliowapa ushirikiano wa kutosha na kusema hakuna tukio lolote.
0 comments:
Post a Comment